Menu ›
Burudani
Wed, 31 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwaka 2018 unazidi kuwa wa neema kwa wasanii wachanga kwenye muziki wa Bongo Flava kutokana na idadi yao kuongezeka kila kukicha.
Msanii P Plan wa muziki wa Bongo Flava, ameachia wimbo wake mpya ‘Wanabadili Maneno’ ambao amewashirikisha Ben Gang na Bright.
Wimbo huo umetayarishwa na producer Chrixton kutoka studio za Flava Records.
Bonyeza hapa kusikiliza wimbo huo
Chanzo: bongo5.com