Menu ›
Burudani
Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii na Mtangazaji Baba Levo amefunguka kuhusu ukaribu wake na Staa wa muziki Harmonize licha ya kuwa mpinzani wa biashara kwa boss wake Diamond Platnumz na kudai kuwa hajawahi kuwa karibu na Harmonize na huwa wanakutana tu.
"Sijawahi kuwa na ukaribu na Harmonize, tunakutana tu kwenye makasino lakini sina ukaribu huo," alisema Baba Levo.
Mbali na hivyo amezungumza juu ya ukaribu wa Diamond na mdogo wa mpinzani wake Ali Kiba, AbduL Kiba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live