Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Sijafanya mapenzi kwa miezi mitatu – Harmonize

Kajala Harmoooo Nm Harmonize na Kajala

Sat, 18 Feb 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Msanii wa Bongofleva toka Konde Music, Harmonize amedai kwamba mara yake ya mwisho kufurahia tendo la ndoa ni wakati alipokuwa kwenye mahusiano na Kajala Masanja.

Akizungumza kupitia ukurasa wake wa Instagram siku ya Ijumaa, Konde Boy aliweka wazi kuwa hajashiriki mapenzi kwa miezi mitatu sasa.

Hata hivyo, hajaonyesha majuto yoyote ya kuwa bila mpenzi sasa kwani anadai hilo limemfanya kuwa na nguvu zaidi.

“Maisha ya kuwa single yanakufanya kuwa na nguvu, miezi mitatu sijawahi kushiriki mapenzi. Najua hamuwezi kuamini hili,” alisema Harmonize.

Ikumbukwe ni takribani miezi mitatu tangu Harmonize kuachana na Kajala Masanja ambaye waliwahi kuachana na kurudiana.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live