Menu ›
Burudani
Tue, 8 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Baada ya siku chache zilizopita mrembo na mjasiriamali, Zewena Yusuf Mohammed aka Shilole kutembelea chuo cha National College of Tourism NCT kwaajili ya kujionea kozi mbalimbali zinazotolewa chuoni hapo, mrembo huyo ameahidi kurudi chuoni hapo kwaajili ya kuchukua kozi ya mafunzo ya upishi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na chuo hizo, zinadai muimbaji huyo alivyotembelea chuoni hapo mapewa wiki iliyopita, aliahidi kurudi kuchuoni hapo pamoja na team yake kwaajili ya kuchukua kozi ya mapishi.
“Siri ilifichuliwa
Chanzo: bongo5.com