Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Shetta amtahadharisha mwanae dhidi ya vidume

834 26073193 780092472174457 5771289444174790656 N TZW

Sun, 31 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Shetta amemueleza mwanae wa kike ‘Qayllah’ jambo la kuwanalo chonjo pindi atapokuwa mkubwa.

Shetta ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Vumba’ aliyomshirikisha G Nako ametumia ukurasa wake wa Instagram kumueleza Qayllah anatapokuwa mkubwa asikubali kudanganywa na wanaume.

Mwanangu Najua kuna watu wanakusubiri subiri ukue kue walete mambo yao ya Kukunyapia nyapia Sasa ninachokuhusia mwanangu Baba Yako nina kila kitu asijudanganye Mtu ukaingia laini ukakazika kijinga jinga Kaza mwanangu…. !!

Msanii huyo anayeonekana kuwa karibu sana na mwanae hivi karibu kupitia kipindi cha The Playlist cha Times Fm alikaririwa akisema moja ya vitu alivyokuwa akitamani katika maisha yake ni kujaliwa mtoto akiwa katika umri mdogo.

Chanzo: bongo5.com