Menu ›
Burudani
Mon, 14 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Sheta ameibua mjadala mzito mtandaoni baada ya kutangaza kifo cha muziki wa Amapiano.
Kupitia Insta Story yake, Sheta ameandika hivi;
"Nafikiri ni muda wa muziki wa Bongo Fleva sasa...kifo cha Amapiano kimewadia."
Mashabiki kwenye mitandao wamekuwa na mtazamo hasi wengine chanya kuhusu kauli hiyo ambapo wapo waliomuunga mkono kwa kumuambia aachie ngoma mpya isiyokuwa Amapiano lakini wengine waliponda kwa kumuambia hana jipya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live