Menu ›
Burudani
Sun, 28 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Asha Sharapova; ni mnenguaji maarufu wa Bendi ya Twanga Pepeta ambaye amefunguka chanzo cha kuachana na baba mtoto wake ambaye ni mwanamuziki wa bendi hiyo aitwaye J4.
Sharapova ameyasema hayo kwenye mahojiano na Kipindi cha Xpress Afrika cha +255 Global Radio na Global TV.
Amesema kuwa, sababu kuu ya kuachana na jamaa huyo ni kwamba alimfumania live na mwanamke mwingine.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live