Menu ›
Burudani
Wed, 1 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara ya kwanza muigizaji mkongwe na mrembo nchini Shamsa Ford amepiga stori na kueleza kuwa Kwa mwanaume yeyote anaetaka mwanamke wa kuoa Basi #Mishangazi akiwemo yeye ndie wanawake sahihi kwa sababu wanaheshima, na wanajua mwanaume anataka nini .
“Wanawake miaka 29 kurudi nyuma hao Kila siku ugomvi watakuwa wanataka iPhone mpya.“
Je, tunakubaliana na Shamsa kwa asilimia ngapi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live