Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

Serikali yatoa ofa usafiri bure kwa wenye tattoo

Tattoo (1).jpeg Tattoo

Sun, 27 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Serikali nchini Austria imesema itatoa ofa ya usafiri wa treni bure kwa mwaka mzima kwa watu watakaochora ‘tattoo’ yenye jina la ‘Klimaticket’ ambalo ni kampeni ya kuhamasisha usafiri wa umma nchini humo.

Mpango huo umeungwa mkono na baadhi ya wanasiasa huku wengi wakiukosoa katika mitandao yao ya kijamii.

Serikali imefanya hivyo huku ikiwalenga zaidi wahudhuriaji wa matamasha mbalimbali nchini humo hasa wakati huu ambapo gharama ya usafiri imekuwa kubwa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live