Menu ›
Burudani
Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki @selenagomez amethibitisha kuingia Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na Mtayarishaji wa Muziki Benny Blanco.
Uvumi kwamba Selena Gomez na @itsbennyblanco walikuwa wako pamoja ulianza wiki chache zilizopita baada ya mashabiki kugundua kuwa walikuwa na uhusiano wa siri . Mashabiki pia wanaamini kuwa barua ya kimapenzi ambayo Blanco alishiriki, ambayo alidai ilitoka kwa "gf" wake ilikuwa katika mwandiko wa Gomez.
Hii ni baada ya ndoa yake kuvunjika hivi Karibuni na aliyekuwa mme wake Dalton Gomez.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live