Menu ›
Burudani
Tue, 16 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabusu ya mrembo Selena Gomez kwa mwimbaji nyota toka Nigeria, Rema yawa gumzo mtandaoni!
Video hiyo inatajwa kurekodiwa usiku wa jana wakati ambapo Selena alimtembelea Rema backstage kwenye show yake aliyoifanya huko Los Angeles Marekani, ambayo ipo ndani ya ziara yake iitwayo "Rave & Roses".
Hata hivyo kwenye video hiyo Rema anaonekana kuwa kwenye mshangao wakati Bi dada akijiachia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live