Menu ›
Burudani
Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa muziki Bongo, Chino Wana Man @chino_kidd7 ambaye yupo South Africa na amepiga stori mbili tatu na sisi alichokiona huko Bondeni kwa Madiba.
Kubwa kuliko anachosema Chino kuhusu South Africa ni wasanii wanaheshimika lakini ma-DJ ndio wakubwa kuliko wasanii wa nchi hiyo.
Pia, anasema tayari ameshakutana na wasanii wakubwa wa wanaofanya muziki wa Amapiano kama Daliwonga, Kabza De Small na tayari ameshazama studio kufanya collabo na baadhi ya wasanii wa South Africa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live