Menu ›
Burudani
Wed, 14 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Msanii kutokea Burundi Gaga Blue amejaribu kuja Tanzania ili kufanya muziki na wasanii tofauti tofauti akiwemo Baraka The Prince , Young D, Mr T Touch na amezungumza kwenye Exclusive Interview na Ayo Tv sababu za kuja Tanzania na sio nchi nyingine.
Bonyeza PLAY kumsikiliza akitoa sababu hizo.
Kingine cha kufahamu kutoka Wasafi Fm na Wasafi Tv
Chanzo: millardayo.com