Menu ›
Burudani
Tue, 14 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuachia ngoma kadhaa zilizompa nauli ya kuja mjini, ikiwemo Dior, Bounce, Girlfriend na Asiwaju ambayo inayaumiza masikio yetu kwa sasa, Mwanamuziki kinda wa Nigeria Ruger amedokeza ujio wa Album yake mpya.
Kupitia twitter wakati akiwashukru mashabiki zake baada ya kushinda Tuzo ya Soundcity MVP ‘Best New Artist’ ambapo aliandika “GET READY FOR THAT CRAZY A%s ALBUM”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live