Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka Nigeria "Ruger" akutana na Rapper mkubwa kutoka Marekani "Fabolous" @myfabolouslife.
Wawili hao wamekutana Dubai. @rugerofficial yupo Dubai kwenye Shughuli zake za muziki na mpaka sasa ametumbuiza mara kadhaa.
Je, unatamani wimbo wa pamoja baada ya wawili hao kukutana?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live