Menu ›
Burudani
Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki @rugerofficial anasema aligopa kukutana na staa wa muziki ndani na nje ya Africa #BurnaBoy kwa mara ya kwanza sababu hakutarajia.
"Mara ya kwanza nilipokutana na Burna Boy kwanza niliogopa. Sikujua nini cha kutarajia". amesema Ruger
Pia amewazungumzia Big Three ya Africa #BurnaBoy #Davido na #Wizkid kuhusu uwezo wao wa kimuziki akisema;
"Kabla Burna Boy hajaanza kuperforme na Live wasanii wengi wa Africa walipenda kwenda na DJ wao. Davido ni kiongozi watu wengi wanafuata nyayo zake hata kwa Wizkid pia ni kiongozi hivyo chagua unayetaka kumfuata".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live