Menu ›
Burudani
Fri, 1 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tory Lanez alikata rufaa kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 10 Jela, hukumu ambayo ilitolewa Agosti 8 mwaka huu.
Tory Lanez alikata rufaa kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 10 Jela, hukumu ambayo ilitolewa Agosti 8 mwaka huu. Sasa rufaa hiyo imetajwa kusikilizwa Septemba 5 mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live