Menu ›
Burudani
Mon, 30 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji nyota wa muziki nchini, msanii Ruby ameuthibitishia uma kuwa yeye ni mjamzito.
Ruby ame-share picha hiyo inayoonesha ukubwa wa tumbo lake kupitia kurasa zake za mitandao ya Kijamii.
Hitmaker huyo wa #TaiChai anategemea kupata mtoto wake wa pili baada ya binti yake wa kwanza aliyempata na mwimbaji Kusah.
"Asante Mungu ???? #MAMAG ❤️" ameandika Ruby kupitia kurasa zake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live