Menu ›
Burudani
Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji wa Bongofleva, Ruby amesema hajawahi kumchora mtu tattoo katika mwili wake!.
Ruby akizungumza katika Podcast ya Lil Ommy, amesema tattoo anazochora ni kuhusu maisha yake na uhalisia wa maisha yake.
“Hiyo line haijavukwa bado, nilishawahi kufikiria, labda kilichokwamisha ni muda haukuwa sahihi” amesema Ruby.
Utakumbuka kwa sasa Ruby anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Fall in Love.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live