Menu ›
Burudani
Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Nguli wa muziki wa RnB na Mkali wa Nyimbo Za mapenzi kutoka nchini Marekani @Rotimi ameachia wimbo wake mpya rambao analenga kukonga mioyo ya Wapendanao ambao unaitwa #Bestie.
Tayari ngoma hiyo ya Bestie inazidi kufanya vizuri kwenye platforms tofauti za muziki duniani.
Rotimi anashauku kubwa ya kutaka mashabiki wake wasikie project yake ijayo iitwayo #7even akiipa Jina la mtoto wake wa kwanza.
Kwa sasa Rotimi anafanya kazi na msanii nguli Akon kuongezea ladha kwenye kazi zake mpya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live