Menu ›
Burudani
Mon, 24 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji Mkongwe wa Filamu nchini Tanzania, Rose Ndauka ametangaza kuwa anatarajia kupata mtoto hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ndauka ame-share baadhi ya picha zikionesha na ujauzito wake mkubwa kisha akasindikiza na maneno yafuatayo; "Ahsante Mwenyezi Mungu kwa kila hatua ❤️❤️❤️"
Post hiyo inaonesha huenda hivi karibuni Rose pamoja na mume wake (Hafidhi) watapata mtoto.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live