Menu ›
Burudani
Sat, 23 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
DJ wa Diamond Platnumz kutoka WCB, Romy Jons aka RJ DJ amefunguka kwa kusema kuwa tayari ameanza kutengeneza brand yake mpya ya U-DJ ambayo itasimamiwa na WCB. DJ huyo amedai atakuwa anaandaa project mbalimbali za kuwashirikisha wasanii wa kimataifa.
DJ wa Diamond Platnumz kutoka WCB, Romy Jons aka RJ DJ amefunguka kwa kusema kuwa tayari ameanza kutengeneza brand yake mpya ya U-DJ ambayo itasimamiwa na WCB. DJ huyo amedai atakuwa anaandaa project mbalimbali za kuwashirikisha wasanii wa kimataifa.
Chanzo: bongo5.com