Menu ›
Burudani
Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Hip Hop Bongo,Roma Mkatoliki amesema kuwa ana mpango wa kustaafu muziki pindi tu atakapofikisha umri wa miaka 40.
Msanii wa Hip Hop Bongo,Roma Mkatoliki amesema kuwa ana mpango wa kustaafu muziki pindi tu atakapofikisha umri wa miaka 40. Roma ambaye anaishi nchini Marekani takribani miaka mitano sasa, alizaliwa mwaka 1989, hivyo sasa ana umri wa miaka 34.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live