Menu ›
Burudani
Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Hip Hop Ibrahim Mussa ‘Roma’ amesema, wanandoa wengi wanaishi tu kulea watoto lakini ndoa zao zimeshavunjika.
Roma amefananisha jambo hilo na mastaa wa Marekani, Jada na Will Smith ambao wanaishi maisha hayo.
"Hata huku mitaani tunao wakina Jada& Smith wengi tu tunaishi nao! Couples kibao zime-divorce kimyakimya, watu wanalea watoto tu sasa hivi, public mnawaona pamoko ila ndichi kwa nyumba kila mtu ana bed yake na room yake."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live