Menu ›
Burudani
Tue, 22 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tovuti ya TMZ wameripoti kuwa, wasanii Rihanna na mpenzi wake Asap Rocky wamepata mtoto wa pili August 3, 2023 huko California-Marekani.
TMZ wameeleza kuwa jina la mtoto linaanzia na herufi 'R' ambapo bado hawajanasa kirefu cha jina hilo lakini ni mtoto wa kiume.
Mtoto wao wa kwanza naye ni wa kiume na anakwenda kwa jina la RZA Athelston Mayers.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live