Menu ›
Burudani
Thu, 16 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rihanna haoni kama kuna sababu yoyote ambayo itamfanya asiachie Album yake ya 9 mwaka huu.
Rihanna haoni kama kuna sababu yoyote ambayo itamfanya asiachie Album yake ya 9 mwaka huu. Kwenye mahojiano EXCLUSIVE na Jarida la Vogue Riri amekaririwa akisema ”Kiukweli kabisa, itakuwa miyeyusho kama haitakuwa mwaka huu. Lakini nataka kuburudika. Nataka kutengeneza Muziki na kufanya video.” amesema Riri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live