Menu ›
Burudani
Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtandao wa ‘Media TakeOut’ umeripoti kuwa Rihanna amejifungua mtoto wa Kike, anakuwa mtoto wa pili pamoja na A$AP Rocky. Mtoto wao wa kwanza anaitwa RZA na alizaliwa Mei 13, 2022.
Mtandao wa ‘Media TakeOut’ umeripoti kuwa Rihanna amejifungua mtoto wa Kike, anakuwa mtoto wa pili pamoja na A$AP Rocky. Mtoto wao wa kwanza anaitwa RZA na alizaliwa Mei 13, 2022.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live