Menu ›
Burudani
Thu, 19 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa mkubwa duniani, Rihanna hatimaye amejifungua salama mtoto wa kiume aliyezaa na mpenzi wake, A$AP Rocky.
Staa mkubwa duniani, Rihanna hatimaye amejifungua salama mtoto wa kiume aliyezaa na mpenzi wake, A$AP Rocky. Mtandao mkubwa wa habari za mastaa wa TMZ, umeripoti kwamba mwanadada huyo alijifungua Mei 13, mwaka huu jijini los Angeles, Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live