Menu ›
Burudani
Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kama hii ilikupita, Rihanna alifanya mahojiano na Jarida la Interview ambapo mahojiano yalitoka wiki iliyopita na humo ndani amezungumza mambo mengi ikiwemo la yeye kuongeza watoto.
Riri mwenye watoto wawili pamoja na A$AP Rocky amesema, atajaribu kama atafanikiwa kupata mtoto wa Kike maana uzao wake hadi sasa ni watoto wa Kiume.
Alipoulizwa anataka kuwa na watoto wangapi? Riri alisema, kadri ambavyo Mungu atamjalia basi yeye atawaleta tu duniani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live