Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rick Ross mbioni kuingiza sokoni bidhaa kwa ajili ya nywele

4736 28764833 158296814885393 5126575661468614656 N TZW

Wed, 14 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani, Rick Ross yupo mbioni kuingiza sokoni bidhaa zake kwa ajili ya nywele.



Rapper huyo anayetamba na ngoma ‘Florida Boy’ aliyoshirikiana na T-Pain na Kodak Black, ameeleza kuwa bidhaa hizo zitaingia sokoni April mwaka huu.

Bidhaa hizo ambazo ni mahususi kwa nywele na ndevu zitajulikana kwa jina la RICHbyRickRoss.

Habari hii njema inakuja zikiwa ni siku chache zimepita tangu kuripotiwa kwa afya ya Rick Ross kuwa mbaya kitu kilichopelekea kulazwa hospitali.

Chanzo: bongo5.com