Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rick Ross kutua nchi hii Afrika Mashariki April, 2018

4837 DYRLgIfX0AAlebG TZW

Sat, 17 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Rick Ross anatarajiwa kurudi tena Afrika Mashariki kwa mara ya pili kwa ajili ya kufanya show.



Baada ya kutumbuiza kwenye tamasha la Fiesta jijini Dar es Salaam Oktoba mwaka 2012, rapper huyo atatua nchini Kenya kwa ajili ya kufanya show ya kufa mtu.

Tangazo la Ross kutua Kenya, lilitolewa usiku wa jana (Jumatano) wakati wa uzinduzi wa albamu mpya ya Diamond, A Boy From Tandale ambapo sherehe za uzinduzi wake ulifanyika katika ukumbi wa Kenya National Theatre.



Picha ya tangazo la show ya Rick Ross wakati wa uzinduzi wa albamu ya A Boy From Tandale ya Diamond

Boss huyo wa Maybach Music Group anatarajiwa kufanya show hiyo kwenye ukumbi wa Carnivore uliopo mjini Nairobi.

Chanzo: bongo5.com