Menu ›
Burudani
Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Rick Ross amewashauri maprodyuza kuiga mfano wa Prodyuza mkongwe Dr Dre kwenye kutulia na kazi moja kwa muda mrefu.
Rapa Rick Ross amewashauri maprodyuza kuiga mfano wa Prodyuza mkongwe Dr Dre kwenye kutulia na kazi moja kwa muda mrefu. Rick Ross amesema prodyuza Dr Dre alitumia muda wa mwezi mmoja kuedit maneno mawili tu kwenye beat alilokuwa ametengeneza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live