Menu ›
Burudani
Mon, 4 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa wa Marekani, Rick Ross amemtaja msanii wa Nigeria, Burna Boy kuwa msanii bora wa Afrika wa muda wote.
Rapa wa Marekani, Rick Ross amemtaja msanii wa Nigeria, Burna Boy kuwa msanii bora wa Afrika wa muda wote. Akiongea live kwenye ukurasa wa Instagram wa rapa wa Afrika Kusini, Nasty C, Rick Ross alimtaja Burna Boy kama nambari moja katika orodha yake ya wasanii bora wa muda wote wa Afrika na namba mbili akimpa Akon.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live