Menu ›
Burudani
Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Rema kutoka nchini Nigeria amekutana na tuhuma za mashabiki kwenye mitandao ya kijamii wakimtuhumu kujihusisha na imani za kishetani.
Hii ni baada ya kuachia Video clip ya wimbo wake mpya wa smooth Criminal ambao upo kwenye Ep yake Mpya ya Ravage inayo tarajiwa kutoka leo Ijumaa.
Mashabiki wamemjia juu Rema baada ya clip hiyo kuonesha matukio yanayohusisha na imani za kishetani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live