Menu ›
Burudani
Wed, 10 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka Nigeria Rema azidi kufanya makubwa kwenye muziki wake na kuendelea kuupaisha muziki wao wa Afrobeat kupitia 'Calm Down Remix'' akiwa na Selena Gomez.
Nyimbo hio imeshika nafasi ya 5 wiki hii kwenye chati za Billboard Hot 100 Marekani.
Wimbo huo umefikia rekodi ya wimbo wa ''Essence Remix'' wa Wizkid, Tems na Justine Bieber kwa kukaa muda mrefu katika chati za Billboard Hot 100, kwa wiki 35.
Je kibongo bongo unamuona msanii gani kuyafikia mafanikio haya ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live