Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rayvanny hakamatiki, awaimbisha mashabiki mwanzo mwisho (+video)

Video Archive
Mon, 18 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki kutoka WCB, Rayvanny usiku wa kuamkia jana alikuwa na show ya uzinduzi wa ziara ya Mr. Kiongozi jijini Tanga ambapo yeye alikuwa ndiye msanii pekee aliyetumbuiza kwenye jukwaa hilo.



Rayvanny alitumbuiza nyimbo zake zote huku akiimba mashabiki wake kila wimbo jambo ambalo liliibua shangwe za kutosha kwa mashabiki wake waliohudhuria show hiyo.

Loading...
Chanzo: bongo5.com