Menu ›
Burudani
Mon, 18 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka WCB, Rayvanny usiku wa kuamkia jana alikuwa na show ya uzinduzi wa ziara ya Mr. Kiongozi jijini Tanga ambapo yeye alikuwa ndiye msanii pekee aliyetumbuiza kwenye jukwaa hilo.
Rayvanny alitumbuiza nyimbo zake zote huku akiimba mashabiki wake kila wimbo jambo ambalo liliibua shangwe za kutosha kwa mashabiki wake waliohudhuria show hiyo.
Loading...
Chanzo: bongo5.com