CEO wa Next Level Music Ray vanny ‘Chui’ baada ya kubeba tuzo 5 za East Africa Arts Entertainment Awards 2024 zilizofanyika Nairobi Kenya.
Tuzo hizo alizoshinda Rayvanny ni
Msanii bora wa kiume East Africa Album/EP Mwandishi bora Best lovers choice single Best Insipirational single
Wasanii wengine walioshinda tuzo hiyo ni @diamondplatnumz (OverAll hit maker artist of the year - Shuu, My Baby, Achii na Enjoy)
harmonize_tz- (OverAll Hit single of the Year-Single Again)
S2KizzyOfficial-(OverAll hit maker producer of the year)
JumaJux & @DiamondPlantumz -(Best Collaboration of the year - Enjoy).