Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rayvanny adokeza kuhusu kufunga ndoa

4762 Ya.png TZW

Wed, 14 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Baada ya Diamond kuomba baraka kwa mama yake kuhusu kufunga ndoa mwaka huu, naye Rayvanny amedokeza kuhusu suala hilo hilo la ndoa.



Dokezo hilo la ndoa limekuja  wiki chache baada ya msanii huyo na mpenzi wake kurejea kutoka  Mkoani Mbeya, nyumbani kwa akina Rayvanny.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Ray aliweka picha yake akiwa katika vazi la suti na kuandika “Bwana Harusi” naye mpenzi wake Fayvanny hakubaki nyuma na akuamua kujibu kuashiria wapo katika michakatao hiyo ya ndoa.

“Ohh bby ? I can’t wait for the day
Chanzo: bongo5.com