Mastaa wa Muziki Rayvanny na Otile Brown wanatarajiwa kukutana katika Stage moja Nchini Kenya kwenye Tamasha la Zii Jam mnamo tarehe 9, Desemba katika Mombasa Sports Club.
Mastaa wa Muziki Rayvanny na Otile Brown wanatarajiwa kukutana katika Stage moja Nchini Kenya kwenye Tamasha la Zii Jam mnamo tarehe 9, Desemba katika Mombasa Sports Club. Tukio hili la kusisimua linaandaliwa na Ziiki Media, kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa muziki Afrika Mashariki, na kuahidi kuwa jioni isiyoweza kusahaulika ya maonyesho ya kusisimua ambayo yataacha alama ya kudumu katika anga ya muziki wa Afrika Mashariki.