Menu ›
Burudani
Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mke wa Barnaba, Raya Alistar Sykes 'Raya The Boss' amesema ataenda gym hadi naye awe na tumbo kama la Yammi ambalo limemchanganya mume wake.
Mke wa Barnaba, Raya Alistar Sykes 'Raya The Boss' amesema ataenda gym hadi naye awe na tumbo kama la Yammi ambalo limemchanganya mume wake. "Naombeni mnitagie trainer wote Tanzania hapa nataka kwenda kutafuta hiyo flat tummy ilimzuzua huyo mwafulani," ameandika Raya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live