Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ray: Mimi ndiye mwigizaji namba moja Afrika

Msanii Ray Msd(1) Ray: Mimi ndiye mwigizaji namba moja Afrika

Thu, 2 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Msanii wa filamu kutoka Tanzania Vincent Kigosi Maarufu kama #Ray amesema kuwa yeye ndio muigazaji namba 1 Afrika Mashariki kwani yeye anajuwa kuigiza na kuandaa filamu.

"Mimi ndo msanii namba moja East Africa ma Muasisi wa kazi hizi za Tanzania. Msanii mkongwe mwenye uwezo mkubwa wa kuigiza na ku-produce movie na Tamthilia. Ni nembo ninayoitangaza Tanzania kimataifa na kitaifa," amesema Ray.

Je unakubaliana na Ray?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live