Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rasmi: Alikiba kuoa usiku wa leo, Mama Mkwe anena

6414 16906988 164718344036202 8380700501351596032 N TZW

Sun, 15 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Alikiba anatarajia kuoa usiku wa leo.



Kwa muijibu wa Pilipili FM, Alikiba anafunga ndoa na mpenzi wake, Aminah Rikesh, Mombasa nchini Kenya.

Mama wa Bibi Harusi amesema; “Tunasherekea harusi ya mtoto wangu anaolewa na Alikiba, tunashukuru Mwenyenzi Mungu atupe furaha, anayepanga ni yeye hakuna anayeweza kupangua hata kama Alikiba ametoka TZ lakini Mungu ndiye ameshapanga”.



Soma Pia; Mahusiano ya Alikiba na mrembo wa Kenya yaanza kuvuja

Licha ya wawili hao kufanya siri mahusiano yao hadi kufikia hatua ya kuoana, taarifa za ndani zinadai kuwa Alikiba na Aminah wameanza kuwa pamoja tangu mwaka 2016

Chanzo: bongo5.com