Menu ›
Burudani
Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: Bbc
Rapa maarufu wa Nigeria Oladipupo Oladimeji, almaarufu Oladips, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka.
"Bado tunashtuka tunapozungumza,"wasimamizi wake walisema kwenye chapisho la Instagram.
Hawakutoa sababu ya kifo chake, lakini chapisho hilo lilisema kwamba rapa huyo kwa zaidi ya miaka miwili "ameweka vita vyake ndani yake mwenyewe".
Taarifa hiyo ilihimiza umma kuheshimu faragha ya familia yake, na kusema kwamba maelezo ya mazishi yatatangazwa baadaye.
Chanzo: Bbc