Menu ›
Burudani
Sun, 23 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Young Thug ataendelea kubaki nyuma ya nondo, juzi amenyimwa dhamana tena ikiwa ni mara ya Nne kwenye Kesi ya makosa ya uhalifu, mauaji, kumiliki silaha ikiwa ni machache kati ya mengi ambayo yanamkabili yeye pamoja na label yake, YSL.
Rapa Young Thug ataendelea kubaki nyuma ya nondo, juzi amenyimwa dhamana tena ikiwa ni mara ya Nne kwenye Kesi ya makosa ya uhalifu, mauaji, kumiliki silaha ikiwa ni machache kati ya mengi ambayo yanamkabili yeye pamoja na label yake, YSL. Thug amekuwa Jela kwa takribani mwaka mmoja sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live