Rapa @swaelee amejikuta akishambuliwa vikali na mashabiki wa Afrika Kusini baada ya ku-Tweet kuwa anatarajia kufanya ngoma ya Amapiano na kuweka bendera ya Nigeria badala ya Afrika Kusini.
"Tafadhali Ebu Iheshimu Afrika Kusini, Na Utumie Bendera Sahihi" - Shabiki
"Bro Wa-Nigeria Sio Waanzilishi Wa Huo Muziki, Unatukosea Heshima S.A, Toa Hiyo Bendera"
Hata Hivyo #SwaeLee Ameibuka Na Kuwaomba Msamaha Akidai Kuwa Hakuwa Na Maana Hiyo Kama Walivyofikiri, Akisema Kwamba Yeye Ametambulishwa Katika Muziki Wa Amapiano Na Wa-Nigeria .....
"Nafahamu Fika Chimbuko La Muziki Huu Ni Afrika Kusini, Hivyo Sio Sawa Kugombana/ Kuingia Katika Vita, Ni Bora Tuwe Pamoja Na Amani Kwasababu Masuala Kama Haya Ndio Yanatugawa, Nawapenda Wa-Afrika Wote"