Menu ›
Burudani
Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwenye moja ya Mahojiano ambayo Rapa kutoka Nchini Afrika kusini Nasty C amefanya na LTidoPodcast anasema bado hajamuona Rapa anaeandika zaidi yake Afrika.
Kwenye moja ya Mahojiano ambayo Rapa kutoka Nchini Afrika kusini Nasty C amefanya na LTidoPodcast anasema bado hajamuona Rapa anaeandika zaidi yake Afrika. Amesema kwa Duniani anaowaona wanaandika zaidi yake labda #JAYZ na #JCOLE wengine ambao #Nastyc amewataja kama waandishi wazuri ni #Drake , Eminame.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live