Menu ›
Burudani
Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa mwenye asili ya Tanzania anayeishi Nchini Australia Simorix The General ameonekana akiwa karibu na msanii kutoka Nchini Nigeria Davido bado haijafamika kama kutakuwa na ngoma ya pamoja itakayokuja kutoka kwao.
Rapa mwenye asili ya Tanzania anayeishi Nchini Australia Simorix The General ameonekana akiwa karibu na msanii kutoka Nchini Nigeria Davido bado haijafamika kama kutakuwa na ngoma ya pamoja itakayokuja kutoka kwao. Huwenda akaungana na Wasanii wengine wa Tz kama Diamond Platnumz na Dayna Nyange kufanya kazi na staa huyo mkubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live