Menu ›
Burudani
Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, Ice Spice ameshika nafasi ya pili kuwa mwanamuziki aliye fuatiliwa sana na kutafutwa kupitia Google kwa mwaka 2023 nchini humo.
#Google search engine imetangaza mada zao kuu zinazovuma mwaka huu ikiwemo wanamuziki walio ongoza kwa kufatiliwa kupitia #Google, huku katika orodha hiyo, #IceSpice ameshika namba mbili, na namba moja ikichukuliwa na mwanamuziki #JasonAldean.
#IceSpice anatamba na ngoma zake kama ‘Deli’, ‘In ha mood’ ‘Pretty girl’ pia amewahi kushirikishwa katika wimbo wa #NickiMinaji ‘Barbie World’.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live