Menu ›
Burudani
Thu, 1 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo amemtembelea muigizaji mkongwe, Mzee Majuto katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam anapopatiwa matibabu.
Mzee Majuto awali alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili.
Chanzo: bongo5.com