Msanii wa muziki wa BongoFleva kutoka wcb_wasafi Rayvanny ametangazwa mshindi tuzo za @aeausa 2020 katika kipengele cha Best Male Artist – East/South and North Africa akiwashinda Elgrande toto, The Ben, Diamond Platnumz, Alikiba Eddy Kenzo, Harmonize, Tewodros kassahun AKA Teddy Afro, Jah Prayzah na Bruce Melodie aliokuwa akichuana nao kwenye Kipengele hicho.
Msanii wa muziki wa BongoFleva kutoka wcb_wasafi Rayvanny ametangazwa mshindi tuzo za @aeausa 2020 katika kipengele cha Best Male Artist – East/South and North Africa akiwashinda Elgrande toto, The Ben, Diamond Platnumz, Alikiba Eddy Kenzo, Harmonize, Tewodros kassahun AKA Teddy Afro, Jah Prayzah na Bruce Melodie aliokuwa akichuana nao kwenye Kipengele hicho.